I am a CHAMPION!

I will conquer what has not been conquered, defeat will not be in my creed,

I will believe what others have doubted,

I will always endeavor the prestige, honor, and respect of my team,

I have trained my mind and my body will follow,

Who am I?

I am a CHAMPION!

Facebook

Monday, October 3, 2011

Are you working harder or smarter?




Are you working harder or smarter?
 Katika Ulimwengu wa kipato na kujitafutia riziki watu wote tumegawanyika katika makundi makuu manne, Waajiriwa au Waliojiajiri, Wamiliki wa Biashara na Wawekezaji, makundi hayo pia yamegawanyika katika pande kuu mbili, Kushoto na Kulia.

 Upande wa kushoto kuna makundi ya Waajiriwa na Waliojiajiri, upande wa kulia ni Wamiliki wa biashara na Wawekezaji, mgawanyiko huu unatokana na wapi chanzo kikuu cha mtu mapato yake kinakopakina.

 Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, wasomi na wataalamu wa uchumi duniani, upande wa kushoto (Waajiriwa na waliojiajiri) ndio wenye watu wengi zaidi duniani asilimiam 95%, ndio wenye kipato kidogo zaidi, unalipa kodi nyingi zaidi, ulio masikini, wasio na uhuru na muda, kipato ama kukaa na familia zao, huku asilimia mkubwa wakiwafanyia kazi walio upande wa kulia na kumiliki asilimia 20 ya utajiri wa dunia.

 Lakini upande wa Kulia, Wamiliki wa mifumo ya Biashara na Wawekezaji, ndio upande wenye watu wachache zaidi duniani asilimia 5% tu huku wakimiliki asilimia 80% ya utajiri woote wa dunia, huu ndio upande ambao kipato chao hakitegemei ufanyaji kazi wao moja kwa moja, wanalipa kodi chache, wana uhuru wa kipato, muda na pia kwenda popote watakapo na kufanya kazi na watu wawatakao.

 Upande huu wa kulia unamiliki mifumo ya biashara na pia unatumia pesa kuingiza pesa kwa walio katika kundi la wawekezaji, hawa hawaitaji kuamka kila siku asubui kwenda kutafuta riziki, mifumo waliotengeneza uwawezesha kuwa na uhakika wa kipato hata kama yuko mbugani au ng’ambo na familia wakitalii kwa muda wowote ule.

 Hivyo ukitaka kuwa na uhuru wa kipato, muda, mahali na kujikwamua toka kwenye umasikini pia unabudi kuanza kufikilia njia kukupeleka upande wa kulia, kuwa Mmiliki wa mfumo wa biashara ama Mwekezaji.

 Wakati wa Zama za Viwanda (Industrial Age) karne iliyopita ilikuwa ni ngumu sana kufikilia kuwa mtu wa upande wa kulia angeweza kufanya juhudi au kupata njia kuhamia upande wa Kulia, ilikuwa ni ndoto, kama haukuzaliwa katika familia yenye utajiri basi ulikuwa na uhakika wa kubaki pale ulipo, upande wa Kushoto.
 

Habari njema ni kuwa ni rahisi sana kwa sasa, katika karne hii na Zama za Taarifa/Habari (Information Age) kwa mtu aliye upande wa kushoto kuweza kuhamia upande wa Kulia na kuwa Mmiliki wa mfumo wa Biashara na hatimaye kuwa Mwekezaji, kukua kwa teknolijia ya habari na mawasiliano, kumefanya ama kurahisisha mambo mengi sana, ikiwemo ufanyaji wa biashara, hivi sasa ulimwengu unashuhudia mamilioni ya matajiri wapya kila mwaka, Pual Zane Pilzer, Next Millionaireas,  japo si rahisi sana kama vile mtu awezavyo kupata ajira ya kima cha chini.
 Aina tatu za Madaraja.
Haya nadhani yanafaa kuitwa madaraja, ili mtu aweze kuhama kutoka upande wa kushoto na kuhamia upande wa kulia anaweza kutumia moja ya madaraja haya matatu, lengo kuu likiwa ni kujenga na kumiliki mfumo wa biashara, madaraja hayo ni:-

 1.      Traditional C-type Corporations- Huu ni mfumo wa kawaida wa biashara ama viwanda vya asili ambapo unajenga au kuanzisha biashara yako, mfano Bakhresa, Mengi, Mo Dewji, Mfuruki nk.

2.      Franchises – Hii ni kununua mfumo uliopo tayari na kuendesha, mfano, Coca cola, Steers, Mc Donald, nk

3.      Network Marketing – hapa unanunua mfumo uliopo na kuwa sehemu ya mfumo uliopo tayari.

 Katika mifumo yote mitatu ama madaraja matatu yana nguvu na changamoto zake, changamoto kubwa kabisa katika daraja la 1 na 2 ni mtaji, mtaji mkubwa unaohitajika ili kuanzisha kampuni au kununua biashara itakoyoweza kuajiri watu wasiopungua 500 ili kuweza kuwa katika kundi la Wamiliki wa Mfumo wa Biashara.

 Nguvu pekee iliyopo katika mfumo au daraja la tatu, Network Marketing ni mtaji mdogo unaohitajika kununua na kuwa sehemu ya mtandao mkubwa, makampuni mengi ya biashara ya mtandao utoa bure mafunzo ya biashara, vitendea kazi na nyenzo mbalimbali kumwezesha mtu kufanikiwa katika mfumo huu, huku ukipata fursa ya kuwa na biashara ya kimataifa, na hivyo kuwa Mmiliki wa mfumo huku ukijiandaa kuwa Mwekezaji.

 
“Network Marketing is really the greatest source of grass root capitalism, because it teaches people how to take a small bit of capital, that is your time and build the American dream”  Jim Rhon 

  Daraja hili la Biashara ya Mtandao ndilo linapendekezwa na wanazuoni na wachumi wakubwa duniani, kwani kwa mtaji kidogo wa chini ya dola 1,000 mtu anakuwa mmiliki wa mtandao mkuubwa sana duniani, ukimpa mtu uwezo wa kufanya biashara popote duniani na yeyote pia, ni kama kuwa na duka lililowazi saa 24, siku saba za juma, inamfanya mwanamtandao kufanya kazi kwa bidii na smart na si kutumia nguvu kubwa mno kwa ujira kiduchu. 

"Network Marketing has produced more Millionaires than any other industry in the history of the world” Les Brown 
 

Kwa juhudi binafsi mtu anaweza mafanikio makubwa sana katika kipindi kifupi sana kuliko aina nyingine ya mifumo ya biashara.


 


Wiki ijayo tutaangalia mfumo wa Network Marketing, ni nini na unafanyaje kazi?
 
 Nitwangie au ni email ukiwa na swali lolote au maoni kuhusu makala hizi 0716927070, 0784475576, e.brwebangira@gmail.com

   





   




Monday, September 26, 2011

ARE YOU BUILDING PIPELINES OR HAULING BUCKETS?


Hapo zamani za kale kulikuwa na kijiji Fulani, kilikuwa kizuri sana kwa kuishi isipokuwa tatizo hakukuwa na majim ya uhakika mpaka mvua inaponyesha.

 Hili kutatua tatizo hili wazee wakijiji waliitisha kikao na kuazimia kutafuta mzabuni atakayekuwa akikipatia maji kijiji kila siku.

 Watu wawili walipatikana kufanya kazi hii na wazee wa kijiji waliamua kuwa zabuni hii wote wawili. wakiamini kuwa ushindani utaweka bei kuwa chini na uhakika wa maji kijijini.

 Mmoja wa wa zabuni wale akiitwa Kibwana, haraka haraka alienda kununua ndoo mbili za chuma na kuanza mara moja kwenda na kurudi kuchota maji, kutoka katika ziwa lililokuwa mbali kidogo na kijiji na kusambaza kijijini, akaanza kutengeneza pesa chapchap, akitaabika alfajiri ata jioni akituta ndoo za maji.

 Alikuwa akituta na kujaza katika tanki kubwa ambalo kijiji kilijenga kwa ajili hiyo, siku zote aliamka kabla ya wanakijiji wote ili kuhakikisha kuwa maji yanakuwepo kabla hawajaamka, ilikuwa kazi ngumu, lakini alikuwa na furaha kwa sababu alikuwa akiingiza kipato kwa biashara hii.

 Yule mzabuni wa pili akiitwa Ben alipotea kwa kitambo kidogo, hakuonekana miezi kadhaa, hii ilimfanya Kitwana kuwa na furaha sana maana hakuwa na ushindani, alikuwa akipata pesa zote za kijiji kwa Wakati huo.

 Badala ya kununua ndoo mbili hili kushindana na Kibwana, Ben alikaa chini na kuandika mpango wa biashara, akatengeneza Shirika, akaajiri msimamizi wa mradi, akatengeneza timu ya kazi, alirudi miezi sita baadaye akiwa na watu wa ujenzi, ndani ya mwaka Mmoja wajenzi wale walijenga mtandao mkubwa wa mabomba uliounganisha ziwa na kijiji.

 Siku ya ufunguzi Ben akijua ya kuwa watu walikuwa wakilalamikia uchafu wa maji ya Kibwana, alitangaza kuwa maji yake ni masafi kuliko ya Kibwana, pia ya kuwa anaweza kusambaza maji kijijini masaa 24, siku saba za wiki, Wakati Kibwana anaweza kuleta siku za kazi tu, na zaidi akatangaza kushusha bei kwa asilimia 75 ya ile anayotoza Kibwana, watu walifurahi sana, woote wakawa wanateka maji kwa Ben.

 Kibwana kuona vile aliamua naye kushusha bei kwa asilimia 75 pia, akanunua ndoo mbili zaidi, akaongezea na mifuniko katika ndoo zake, akaanza kututa ndoo nne kwa mpigo, ili kuwahudumia vyema wanakijiji aliamua kuwaajiri wanae wawili wa kiume ili wasaidiane naye, ilibidi pia kufanya kazi mpaka usiku na siku za mwisho wa wiki, ilipofika muda wa wanae kwenda vyuoni, aliwaasa wakimaliza warudi haraka nyumbani kwani hii itakuwa biashara yao siku za usoni.

 Kwa sababu hii ama ile watoto wale hawakurudi baada ya kumaliza masomo, mwishoni Kibwana aliajiri watu kufanya naye kazi, lakini akaishia kupata matatizo na umoja wa wafanyakazi, Umoja ulimtaka kuwapa maslahi mazuri, kubeba ndoo moja kwa safari na kuwapa marurupu zaidi.

 Ben, kwa upande wake alitambua kuwa ikiwa kijiji hiki kinahitaji maji bila shaka na vijiji vingine vinamahitaji pia, hivyo akaandika mchanganuo wa biashara yake ya maji safi, salama, uhakika na gharama nafuu kwa vijiji vyoote duniani, anaingiza pesa ndogo tu kwa kila ndoo lakini anauwezo wa kuuza mabilioni ya ndoo kila siku, haijalishi kama amefanya kazi au la, mamilioni ya watu watapata maji na mabilioni yataingia katika akaunti yake ya benki, Ben amatengeneza bomba la kumletea pesa yeye mwenyewe na pia kuwaletea wanakijiji maji.

 Ben aliishi kwa furaha zaidi na Kibwana alifanya kazi ngumu maisha yake yoote na kuishia kuwa na matatizo ya pesa milele,
 

Swali je, Ungali watuta ndoo za maji au wajenga mtandao wa mabomba?

Katika kazi ama biashara uifanyayo, wajenga bomba au watunta ndoo za maji??

Jeni Biashara au kazi gani chini ya jua inaweza kukufanya ujenge Bomba, bomba la kipato? yaani itakayokuwezasha kuingiza pesa masaa 24, siku saba za wiki, pasipo kuangalia ikiwa umefanya kazi au la?

Nitwangie 0716927070, au ni-email: brwebangira@gmail.com kwa swali lolote. 

Nakutakia mafanikio katika kila ufanyalo. 

Thursday, September 8, 2011

Positive Mental Attitude

Having a positive mental attitude is crucial in life. If we cannot look upon ourselves with a positive outlook then who will. We can call it having a PMA. Live life with confidence. Be motivated to make the most of life and to help others.




"To think health when surrounded by the appearances of disease or to think riches when in the midst of the appearances of poverty requires power, but whoever acquires this power becomes a master mind. That person can conquer fate and can have what he wants." W.D Wattles


What is true is that seeing things in a positive light, looking for the best, rejecting the worst or negative or bad, is a 'positive' and uplifting way to not only view life but live it at the same time. This outlook will enable you to live life as you have always wanted to. With confidence, motivation, satisfaction and productivity.

“A positive mental attitude is the starting point of all riches, whether they be riches of a material nature or intangible riches.“ - Napoleon Hill


The Basis of PMA 
What is the basis of having a positive outlook and mental attitude? Its basic tennent is that to be optimistic in life will bring its rewards in greater achievement and accomplishment. A person with an optimistic nature will be happier in themselves and enjoy life more.

And also that we will not only bring more to our own life but that we will be able to contribute more, too.
With so many myths about positive mental attitude (PMA), it’s important to separate the truth from the fiction. Let’s explore some of these myths and dive into the truths behind them.

Myth #1: Negative thinking is more realistic.

Have you ever heard a negative person say that they aren’t negative; they’re just being ‘realistic’? This myth keeps people locked in a negative reality of their own creation.

A person’s thoughts, whether positive or negative, do have an effect on their environment. If you think negatively, your mind will automatically seek out confirmation that the world is a terrible place. Seeing is believing, and your mind reinforces your belief that reality is negative. See how it’s a downward spiral of negativity? If you expect negative results, you are less likely to take risks and try new things. Negative thinking masks your impressions in fear.

Positive thinking works the same way. With a positive mental attitude, you’ll seek out positive choices and expect positive results. This helps you move past fear and try things that others may believe “can’t be done”. This typically end in positive results.
A person’s thinking helps determine their reality. Negative thinking is realistic for the negative thinker, but only because their thoughts make it true. Ironically, the positive thinking also sees reality, just in a different light. Both types of people see their own reality, and both consider it the reality.

Myth #2: People with a PMA expect moneybags to fall out of the sky if they wish for them.

Those who don’t believe in positive thinking imagine that positive thinkers expect that their desire will manifest itself if they simply think positively about it. This couldn’t be further from the truth.

Everyone who accomplishes anything – whether it’s earning a million dollars or becoming an award-winning actor – accomplish it the same way: by taking action. Positive people have an edge because they believe the object of their desire is attainable. They come from a ‘can-do’ mindset. Their actions are not based on fear or scarcity, but based on possibilities. Thus, a positive attitude helps a person manifest their desires, not simply by dreaming about it, but by inspiring the person to take action.

“It’s the action behind the attraction that makes the dream come true.“

Myth #3: Positive thinking doesn’t change reality

People who believe this myth see a problem and believe that positive thinking will only ignore the ugliness of their reality. The truth is positive thinking doesn’t ignore the problem; it helps you see the problem in a new light. In fact, you don’t even see ‘problems’ as problems. Think about it; regardless of how you react to an external situation, the situation will still be the same. If being upset doesn’t change the outcome of a past situation, wouldn’t it serve you, and your health, to see the positives?

A positive mental attitude creates a mindset of abundance, enthusiasm, and solutions. Instead of thinking about what can’t be done, a positive thinker will not be constrained by ‘can’ and ‘cannot.’ A positive thinker is free to think of new ways to solve problems because they are not limited by fear of failure. When we are in a state of abundance, we provide a fertile ground for possibilities and making dreams a reality. We are in a state of allowance, openly accepting the gifts of life to flow to us. When I realized this principle and shifted my thinking habits, miracles started popping up in my life.

A positive mental attitude can – and indeed does – change reality by allowing a person to act in an entirely different way, thus harvesting entirely different results.

“Successful men become successful only because they acquire the habit of thinking in terms of success.“ Napoleon Hill
Myth #4: Positive thinkers have no clue about the real world.

It’s easy to believe that people with a positive mental attitude have perfect lives and never dealt with real world hardships. Maybe people wouldn’t be so positive if they’d endured a few difficult times in their lives. But the truth is that this is really just a justification for negative thinking.

I don’t know a positive person who hasn’t had real and serious trials in their lives. They’ve faced disappointment, death of loved ones, physical handicap, and pretty much the range of human experiences we all deal with. The difference is that these people didn’t let those experiences change their outlook. A positive mental attitude means that you are in control of your own thoughts and feelings.

“Responsibilities = our abilities to control our responses.” paraphrasing Steven Covey

Every person has sorrows and trials that test them to the core, but only some people have the courage to act positively and with grace. A positive mental attitude doesn’t mean a person has sidestepped a hard life. It simply means they choose to see and take part in the good things life has to offer, as opposed to only the negative.

In Man’s Search for Meaning, Viktor Frankl an extraordinary Holocaust survivor talks about finding happiness and purpose while in a Nazi concentration camp. In his book, he argues that “we cannot avoid suffering but we can choose how to cope with it, find meaning in it, and move forward with renewed purpose.“

“Between stimulus and response, there is a space.

In that space lies our freedom and power to choose our response.

In our response lies our growth and freedom.“

- Viktor E. Frankl, Man’s Search for Meaning


Myth #5: People with a PMA are annoying and cheesy.

Okay, let’s admit it, some types of positive people are a little cheesy. We’re talking about the kind who spout platitudes and expect everything to be perfect no matter what. But truly positive people aren’t Tony Robbins infomercials. Positive people have real thoughts and have setbacks and discouragement just like everyone else, but they are also resilient and look for ways to stay positive. And that’s not cheesy, it’s just healthy thinking! And smart living!
Truly positive people do not expect perfection, but rather, they expect that every event is the best thing that could have happened in that moment. It is the only event that happened in that moment. Now that you’re considering the event, that moment has past. You cannot go back and change the moment, so you have to accept what happened was the best, and move on to the next moment.

Even in external circumstances that seem out of our control, we can always control is our internal response. In fact, it’s the only thing we have absolute control over.



from thinksimplenow.com 

Subscribe via email

Pata nakala ya mada hizi moja kwa moja katika email yako hapa.

Delivered by FeedBurner

SUCCESS

If these qualities describe you...

1. Self Motivated

2. Highly Ambitious

3. Big Thinker

4. Entrepreneurial

5. Not Willing to Settle for Less

6. Goal Oriented

7. Want to Be Your Own Boss,

8. Want to Live a Life by Design

9. Confident in Making Decisions

10. 200% Committed to change your life within the Next 6-12 Months. You read that right - 200%!!

...then, subscribe to the email ABOVE to contact us ASAP to get:-

• A success—and achievement—oriented articles

• Success quotes to motivate and inspire you

• Special offers on new and best-selling personal achievement resources

• Occasional articles from World renown top experts in personal achievement.